Kufanya wepesi kwenye kujifungua

No comments


Ili mwanamke apate urahisi wa kujifungua pale anapohisi uchungu anashauriwa kufanya yafuatayo;
  • Kunywa asali kikombe kimoja cha kahawa
basi apendapo Allah atazaa kwa usahali na wepesi,

Baada ya kuzaa anatakiwa chakula chake kiwe ni mkate wa ngano safi {sio unga wa ngano mweupe} huku akitolea na asali.

Na kwa ajili ya kuiteremsha damu baada ya kuzaa ambayo bado imo tumboni na pia kwa ajili ya kuondosha maumivu basi anatakiwa anywe Uwatu glasi 1 iliyochemshwa na kuchanganywa na asali anywe asubuhi na jioni hakika damu na maumivu yote vitaondoka Biidhnillah.

 
Natumaini tumeelewana. 


Tafadhali usisite kutupa mrejesho  

No comments :

Post a Comment