Dawa Madhubuti na Imara ya "Mtaimbo"
Ndugu yangu mtaimbo wako ikiwa haufanyi
kazi,mwembamba,mfupi,umekaa namba 7, hausimami, hauna uwezo wa kuchimba dawa nk.
Basi tafuta dawa hizi zifuatazo na
jitahidi sana ndg yangu zitimie zote nazo ni:-
- Daarfilfil,
- Filfil abyadh,
- Basbas jauz,
- Zaafaran ya nyuzi,
- Anisun,
- Tangawizi
- Qiswtwi,
- Habbat sufaa,
- Haltiti,
- Aqirkarah,
- Khulinjan,
- Filfil as-wad,
- Kakilah,
- Mbegu za tikitimaji,
- Mbegu za papai,
- Kan-dar,
- Karafuu maua,
- Mushtak,
- Mdalasini,
- Haluli,
- Habbat Barka,
- Misk as-wad ya unga,
- Sufa nyeupe,
- Lozitunda,
- Ndizi,
- Karanga,
- Kitunguu maji,
- Thaumu,
- Halba,
- Nazi,
- Nanaa,
- Chumvi maskat,
- Simsim,
- Himswi
Ndg zangu dawa nilizozitaja sehemu ya
kwanza zote hizo unatakiwa lazima ziwe unga kisha kwa kila dawa ipime kijiko
kimoja cha chakula kisha baada ya kupima zote anza kuzichanganya pamoja baada
ya hapo chagua moja kati ya Asali au Maji yaliyozimishiwa chuma ndani
yake na ukishachagua fuata maelekezo yafuatayo
Baada ya kuchagua kimoja wapo kati ya
Asali na Maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake maelezo yake ni:-
Kwa Asali unga huo utautia ndani ya asali nyingi kidogo na hakikisha asali na dawa ufanye ziwe kama uji mzito na matumizi yake ule vijiko 2 vya chakula asubuhi na jioni yaani 2x2 mpaka iishe.
Njia ya pili chukua unga huo tia asali kidogo ufanye upate kama ugali laini kisha utachota kijiko 1 cha chakula tia ndani ya glasi ya maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake uvuruge vizuri na uwe unakunywa 1x2 siku 5---21.
Ndg zangu kwa mahitaji ya dawa hiyo ungana nami INSHAALLAH.
Kwa Asali unga huo utautia ndani ya asali nyingi kidogo na hakikisha asali na dawa ufanye ziwe kama uji mzito na matumizi yake ule vijiko 2 vya chakula asubuhi na jioni yaani 2x2 mpaka iishe.
Njia ya pili chukua unga huo tia asali kidogo ufanye upate kama ugali laini kisha utachota kijiko 1 cha chakula tia ndani ya glasi ya maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake uvuruge vizuri na uwe unakunywa 1x2 siku 5---21.
Ndg zangu kwa mahitaji ya dawa hiyo ungana nami INSHAALLAH.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

This comment has been removed by the author.
ReplyDelete