Ushauri : Sehemu ya Kwanza
- Ktk uhai wako kama unataka uiogope hospital au daktari basi kila siku asubuhi dumu kula mchanganyiko wa kijiko kimoja kikubwa cha mafuta ya H-sauda na kijiko kimoja kikubwa cha asali uone maajabu yake.
- Ukitaka nishati ya siku nzima basi kunywa mafuta ya H-sauda kijiko 1 kikubwa asubuhi kila siku.
- Ukitaka usingizi mzuri wa rahaaa basi kunywa kijiko kimoja kikubwa cha mafuta ya H-sauda baada ya chakula cha usiku.
- Ukitaka kupoza maradhi yote basi dumu kutumia mafuta ya Habbat sauda
Inshaallah taalah.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

mawasiliano yako muhimu nikutafute au tukutafute plz
ReplyDelete