Ushauri : Sehemu ya Kwanza

1 comment

  1. Ktk uhai wako kama unataka uiogope hospital au daktari basi kila siku asubuhi dumu kula mchanganyiko wa kijiko kimoja kikubwa cha mafuta ya H-sauda na kijiko kimoja kikubwa cha asali uone maajabu yake.
  2. Ukitaka nishati ya siku nzima basi kunywa mafuta ya H-sauda kijiko 1 kikubwa asubuhi kila siku.
  3. Ukitaka usingizi mzuri wa rahaaa basi kunywa kijiko kimoja kikubwa cha mafuta ya H-sauda baada ya chakula cha usiku.

  4. Ukitaka kupoza maradhi yote basi dumu kutumia mafuta ya Habbat sauda



Inshaallah taalah.

1 comment :

  1. mawasiliano yako muhimu nikutafute au tukutafute plz

    ReplyDelete