ALLERGY

No comments


ALLERGY NI NINI?

Ni hali isiyo ya kawaida inayotokea baada ya mwili kukutana na kitu nje au ndani ya mwili. Allergy inaweza kutokea baada ya kukutana na vitu kadhaa km vile vumbi, vipodozi, manyoa ya wanyama, chanjo, baridi, vyakula, vinywaji nk.

Source: carolinafamilyhealthcare.com
ATHARI ZAKE
Baadhi yake ambazo ndio kubwa na maarufu ni hizi
*  Kuvimba mwili.
*  Chafya zisizoisha.
*  Kikohozi kisichoisha.
*  Mafua yasioisha.
*  Kujikuna kila mara.
*  Kupumua kwa tabu.
*  Kutapika.
*  Kuharisha.
*  Kunyonyoka nywele. nk.

Kitu kimoja kinaweza kusababisha athari za aina tofauti kwa watu tofauti wenye Allergy.
Ulaji wa vyakula vinavyotengenezwa kwa kuongezwa kemikali za aina mbalimbali zinaathiri mwili ni moja wapo ya viini vya Allergy.

MATIBABU YAKE

MAHITAJI

  • Ndimu
  • Asali
  • Maji ya uvuguvugu

Chukua maji ya vuguvugu glasi moja kisha yakamulie ndimu nusu na tia asali safi kijiko kimoja cha chakula koroga vidhuuuuri kabithaaaa


MATUMIZI

Kunywa kinywaji chako hicho muruaaaa asubuhi kwa muda wa siku tatu hadi tano.

In shaa Allah Biidhnillah utapona.

No comments :

Post a Comment