Dawa Madhubuti na Imara ya "Mtaimbo"

1 comment




Ndugu yangu mtaimbo wako ikiwa haufanyi kazi,mwembamba,mfupi,umekaa namba 7, hausimami, hauna uwezo wa kuchimba dawa nk.

Basi tafuta dawa hizi zifuatazo na jitahidi sana ndg yangu zitimie zote nazo ni:-
  • Daarfilfil,
  • Filfil abyadh,
  • Basbas jauz,
  • Zaafaran ya nyuzi,
  • Anisun,
  • Tangawizi
  • Qiswtwi,
  • Habbat sufaa,
  • Haltiti,
  • Aqirkarah,
  • Khulinjan,
  • Filfil as-wad,
  • Kakilah,
  • Mbegu za tikitimaji,
  • Mbegu za papai,
  • Kan-dar,
  • Karafuu maua,
  • Mushtak,
  • Mdalasini,
  • Haluli,
  • Habbat Barka,
  • Misk as-wad ya unga,
  • Sufa nyeupe,
  • Lozitunda,
  • Ndizi,
  • Karanga,
  • Kitunguu maji,
  • Thaumu,
  • Halba,
  • Nazi,
  • Nanaa,
  • Chumvi maskat,
  • Simsim,
  • Himswi

Ndg zangu dawa nilizozitaja sehemu ya kwanza zote hizo unatakiwa lazima ziwe unga kisha kwa kila dawa ipime kijiko kimoja cha chakula kisha baada ya kupima zote anza kuzichanganya pamoja baada ya hapo chagua moja kati ya Asali au Maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake na ukishachagua fuata maelekezo yafuatayo

Baada ya kuchagua kimoja wapo kati ya Asali na Maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake maelezo yake ni:-
Kwa Asali unga huo utautia ndani ya asali nyingi kidogo na hakikisha asali na dawa ufanye ziwe kama uji mzito na matumizi yake ule vijiko 2 vya chakula asubuhi na jioni yaani 2x2 mpaka iishe.
Njia ya pili chukua unga huo tia asali kidogo ufanye upate kama ugali laini kisha utachota kijiko 1 cha chakula tia ndani ya glasi ya maji yaliyozimishiwa chuma ndani yake uvuruge vizuri na uwe unakunywa 1x2 siku 5---21.
Ndg zangu kwa mahitaji ya dawa hiyo ungana nami INSHAALLAH.

1 comment :