Tiba ya Mtoto wa Jicho
Matibabu
- Chukua vilele vya Mtunguja kiasi na uvichemshe maji kiasi na uwe unamtojea ndani ya jicho x3 wiki 2.
- Majani ya Mzalia nyuma mabichi uyapondeponde na uyakamue na maji utakayopata mtojee ktk jicho x2 wiki 2.
- Dawa iitwayo Milhu Hayda Raani iloweke ktk maji kiasi kisha mtojee ktk jicho x3 wiki 2.
Usisahau kurudisha mrejesho tiba hii imekusaidia kiasi gani.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

shukran kwa elimu bora yenye msaada kwa afya ili kamilika
ReplyDeleteMi cjajua hio vilele vya mtunguja nininj,majani ya mzalia ninini na hio milhu hayda ninini na nitapataje hizo dawa nashida hio ya jicho
ReplyDelete